Video: Jaden Smith na uji wa Album mpya

Akiongea na Andre Leon Talley, mtaalaumu wa masuala ya mitindo kutokea jarida la Vogue,Jaden amesema kuwa kwa sasa yupo tayari kufanya muziki na anatarajia kuachia nyimbo zake katika siku karibuni.
Hata hivyo Jaden ametweet kuwa ataachia nyimbo nyingine yenye ladha ya pop baada ya miezi minne.

”Naendelea vizuri na filamu (life in a year) ambayo nimeigiza na Cara(Delevingne) huko Toronto. Kwa sasa nategemea kuachia ngoma yangu itakayoitwa “Batman” baada ya muda si mrefu. Pia nina video yangu iitwayo “Watch me” ambayo itafuatana na album yangu “Syre”

No comments

Powered by Blogger.